Rais Mpya wa Zimbabwe Amteua Wakuu wa Majeshi Kuwa Waziri
Rais mpya wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amelitaja baraza lake la
mawaziri akimteua afisa mkuu wa jeshi kwa wadhfu mkuu katika serikali
yake.
Waziri mpya wa fedha ni Sibusiso Moyo , jenerali aliyetangaza katika runinga ya taifa hilo wiki mbili zilizopita kwamba jeshi limechukua udhibiti.
Mkuu wa jeshi la angani Perence Shiri ataongoza wizara ya fedha na kilimo.Kiongozi mmoja wa upinzani Tendai Biti amesema kuwa fungate iliokuwa ikisherehekewa Zimbabwe imeisha kabla ya kuanza.
Bwana Mnangagwa aliapishwa wiki moja iliopita kufuatia kujiuzulu kwa Robert Mugabe ambaye alikuwa
Post a Comment: