BREAKING NEWS: Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene Aliyetajwa Kwenye Ripoti Amejiuzulu
Thursday, September 07, 2017
Taarifa :Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI, George Simbachawene amejiuzulu.
Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene ametangaza kujiuzulu nafasi yake
kutokana na kutajwa kwenye ripoti za uchunguzi wa tanzanite na almasi
Post a Comment: