BREAKING NEWS: Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu Adaiwa Kupigwa Risasi
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kuwa Mh. Lissu amepigwa risasi zaidi ya mbili alipokuwa amweetoka bungeni na kwenda nyumbani kwakwe kwa ajili ya chakula cha mchana.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo ni kwamba amekimbizwa hospitali na sasa yupo chumba cha upasuaji.
Kwa Taarifa zilizotufikia hali yake ni mbaya sana baada ya mashambulio hayo ya risasi

Post a Comment: