Tundu Lisu na LHRC Waungana Kupinga Kuvamiwa na Kulipuliwa Ofisi ya Mawakili
Tuesday, August 29, 2017
Mbunge wa Singida Mashariki ambaye pia ni Mwanasheria wa CHADEMA na Rais
wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, TLS, Tundu Lissu na Kituo cha Haki
za Binadamu wameungana kwa pamoja katika kupinga kitendo cha kuvamiwa na
kulipuliwa Ofisi za IMMMA Advocates.
Katika mkutano wa pamoja wamesema lengo ni kuonesha namna gani Sheria
inatakiwa kuthaminiwa na kitendo kilichofanywa kinatakiwa kukemewa kwa
nguvu zote.
Post a Comment: