UTEUZI MWINGINE WA RAIS DR.JOHN POMBE MAGUFULI ALIOUFANYA LEO
Monday, January 16, 2017
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mh JPM amefanya uteuzi wa wabunge wengine wawili leo tarehe 16/01/17.
Uteuzi huo umemuhusisha Ndg Abdallah Majura Bulembo, mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi ya ccm na Prof Palamagamba ambaye ni mhadhiri wa chuo kikuu D ar es salaam.
Post a Comment: