MH ZITTO AMSHUKIA MAGUFULI NA AINA YAKEUYA TAALA WAKE
Baada ya polisi kuzuia
kongamano la Bajeti lililokuwa limeandaliwa na chama cha ACT-Wazalendo ambapo
kongamano hilo lililenga kumpa fursa ya pekee kiongozi wa chama hicho Zitto
Kabwe kusema yale ambayo angeyasema bungeni baada yeye na wabunge wenzake sita
wa upinzani kusimamishwa kuhudhuria vikao vya bajeti bungeni.
Na Baada ya taarifa
kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari kwamba kiongozi huyo wa chama
alikuwa akitafutwa na polisi bila mafaniko leo June 13 2016 amejitokeza mbele
ya wanahabari na kuzungumza
Mh Zitto amesema hajui
ni kwanini Polisi wamezuia Kongamano lao la Kuchambua Bajeti. Ila nikwamba ''juzi
usiku siku ya jumaamosi, watu wetu wa usalama wa chama walinijulisha kwamba
Jeshi la Polisi wananitafuta, wakaenda nyumbani kwangu na magari manne kunikamata
bila kufuata utaratibu'' wakati Jumanne iliyopita Kamishna Wambura alinipigia
kuniomba nifike polisi na nilifika bila kusita hivyo silewi kwanini Hii ya
Jumaamosi walikuwa wanataka Kunivizia'
Najua IGP ameagizwa na MAGUFULI anikamate, lakini hawezi
kunikamata bila kufuata utaratibu, hawawezi kunikamata kwa kunivizia, viongozi
hatukamatwi kwa kuviwa viziwa, tumewaonyesha na tutawaonyesha kwamba Polisi
wanaweza kutukamata kwa kufuata terms zetu na sio zao''
Mpaka sasa chama cha
ACT HaKIfahamu Watawala wanaogopa nini
mpaka kuzuia mikutano ya wanasiasa maana tumesikia Jana Walimkamata Mwenyekiti
Chadema Huko Mwanza kisa eti kawasalimia wananchi, hakika huu ni uvunjwaji na
ukiukwaji mkubwa wa utawala wa kidemokrasia.Hivyo sisi kama ACT Tunalaani
kabisa tabia za KIDIKTETA za Rais Magufuli''
''Magufuli ameanza na
vyama vya siasa kuonyesha Udikteta wake, nawahakikishia akimalizana na Vyama
vya siasa atahamia kwenu Wanahabari, Tumkatalie.na Ndio maana Magufuli Ziara
yake ya Kwanza alifanya RWANDA,sasa tumegundua kuwa alikwenda kujifunza namna ya
Kudhibiti Demokrasia na Kuongoza Kidikteta sababu Hauwezi kupambana na UFISADI
kama haumpi nguvu ya Kiutendaji wa CAG''
Kwa hali Hii
anayokwenda MAGUFULI AJIANDAE KUWA RAIS WA TERM MOJA kwa sababu watanzania
hawataweza kuvumilia kutawaliwa, kuminywa na kuburuzwa na Rais DIKTETA KAMA
YEYE,Nawasii sana wanaCCM wamdhibiti haraka na mapema iwezekanavyo Mh MAGUFULI, na
wasipomdhibiti sisi na Watanzania Tutamdhibiti
Hatutakaa Kimya hata
kama atatufunga, akimfunga Zitto watazaliwa wakina Zitto wengine, na kwenye
hili hatutakaa Kimya, tutasimama kidete mpaka nchi irudi kwenye misingi''
Mh Zitto ''amesema
Bajeti imeongezeka kwa 32% . ukweli Je ni
kwamba Bajeti imeshuka na kwa maana Dola
imeporomoka.i cha mtu yeyote kufanya kongamano''
Post a Comment: