Saturday, 5 March 2016

   Mh January Makamba-Waziri wa muungano na mazingira

 Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la kujenga port Bagamaoyo.



 Mh January Makamba na Mwamvita Makamba

Post a Comment: