UBALOZI WA PAKISTANI WATOA MSAADA KWA MANISPAA YA KINONDONI
Serikali ya Pakistan kupitia kikosi cha jeshi la wanamaji kikiongozwa na Ijaz
Ahmad pamoja na Mwenyeji wao Balozi
wa Pakistan nchini Tanzania wametoa
msaada wa Dawa za Binadamu na kumkabidhi
msaada huo Meya Wa kinondoni Mh. Boniface
Dawa hizo zitasambazwa kwenye mahosspitali mbalimbali ya kinondoni.
MEYA WA KINONDONI MH BONIFACE JACOB
Vilevile katika ujio huo wamezungumzia changamoto
zinazowakabili wana kinondoni na kuongelea kujenga uhusiano mzuri baina ya
Pakistan na Tanzania.
Vilevile wageni hao wameisifu amani ya TZ pamoja na
Uchapakazi wa Raisi

BALOZI WA PAKISTAN AKIONGEA NA VYOMBO VYA HABARI BAADA YA KUKABIDHI MISAADA KWA MEYA WA KINONDONI

MEYA WA KINONDONI MH BONIFACE JACOB AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA BALOZI WA PAKISTAN

Post a Comment: