MH DC MAKONDA ,TEMBO UKIMSIFIA SANA MGEMA UTIA MAJI
Mh Dc Makonda,Walaka Huu Naandika Huku Nikijiuliza
Tena Na Tena,Ni Nini Hasa Hasa Malengo Na Dhamira Yako Mkuu. ? Je Ni Kuwatumikia
Wananchi Kweli Ama Kuna Kitu Kingine Cha Zaidi Unatafuta.?
Maana Hivi Karibuni Tumeona Ukionesha Uwajibikaji
Kwenye Baadhi Ya Mambo Ya Kihalmashauri Na Hata Kitaifa.Yapo Ambayo Mh
Umefanikiwa Lakini Yapo Ambayo Umezua Taharuki Kubwa Na Hisia Za Ndani Kwa Wale
Wenye Kutazama Kwa Kina.Labda Nikukumbushe Tu Kuwa Baada Ya Kupishana Kauli Na
Watendaji Wako Ndani Ya Wilaya Akiwamo Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Kinondoni,Mh
Meya Jacob.Ukahamia Katika Suala La Kuwasafirisha Walimu Bure Ndani Ya Jiji La
Dar Es Salaam .Hoja Mabayo Imepingwa Vikali Na Wachambuzi Wengi Wa Kisiasa Na
Kiuchumi,Lakini Pia Na Walimu Wenyewe.Sasa Kama Haitoshi Mkuu Umeamua Kutuletea
Majizi Katika Wilaya Yetu Ya Kinondoni,Kampuni Ya GSM
GSM Ni Kampuni Tanzu Ambayo Inamiliki Makampuni
Ya Msasani Malls, Pugu Mall, Home Shopping, Etc.
Ambao Hivi Karibuni Walifunga Maduka Yao Ya Home
Shoping Centre Kwa Kisingizio Cha Kufilisika.Lakini Habari Za Ndani Zinasema
Kuwa Kampuni Hii Ni Moja Ya Makampuni Makubwa Ndani Ya Nchi Hii Yanayoongoza
Kwa Kutolipa Kodi.Ndio Kampuni Ambayo Pia Ina Urafiki Wa Karibu Wa Familia Ya
Rais Wa Awamu Wa Nne Dr Jakaya Kikwete Kiasi Kwamba Wakatumia Mwanya Huo
Kupitisha Mizigo Ya Haramu Na Kutolipa Kodi Ndani Ya Utawala Wa Awamu Ya Nne.
GSM Ni Moja Ya Makampuni Ambayo Yamekimbia Bandarini
Pasipo Kulipa Ushuru Wa Forodha.Sasa Mh Dc Paul Makonda
Unapokwenda Kuwachukua Wezi Na Matapeli Waliofilisi
Nchii Na Ukwepaji Mkubwa Wa Kodi Kwa Kigezo Kukupa Msaada Ni Sawa Na Kusema
Sasa Serikali Jpm Imeanza Kufuga Wezi.
Lakini Nachelea Sana Kusema Je Nikweli Unatumika Kwa Mh
Ridhiwani Ili Kufanikisha Haramu Kuwa Halali Na Ndio Ilipokuja Hadi Suala La
Wewe Kutunukiwa Udc ?? Hakika Mh Yakupasa Kukumbuka Kuwa Temba Akisifiwa Sana
Mgema Utia Maji
Post a Comment: