Sunday, 20 March 2016

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein amewaongoza wazanzibar katika zoezi la upigaji kura mapema leo Machi 20.2016 linaloendelea visiwani Zanzibar  katika uchaguzi wa marudio ambapo amejitokeza kupiga kura katika kituo nambaa moja katika skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Uchaguzi wa leo ni wa marudio baada ya kufutwa kwa uchanguzi uliofanyika October 25,2025 kutokana na kasoro zilizojitokeza.
z  Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ally Iddi akizungumza na baadhi ya Waandishi wa Habari mara baada ya kupiga kura katika uchaguzi wa marudio kwenye kituo cha Skuli ya Kitope, Wilaya ya Kaskazini B , Mkoa wa Kaskazini. 
cadfb7fd-7dd3-428a-a210-b8bdf6a87ce5Baadhi ya Wakazi wa Madungu wakiangalia majina yao kwenye kituo cha kupigia kura
sheinRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein akipiga kura katika uchaguzi wa marudio  kituo namba 1cha kupiga kura namba 1 Skuli ya   msingi Bungi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo.

Post a Comment: