BREAKING NEWZ : MH ESTER BULAYA AWASILI MWANZA
akihojiwa na waandishi wa habari mhe amesema "anaishangaa serikali ya ccm na bunge kutumia gharama kubwa na nguvu nyingi kumkamata yeye ilhali hizo pesa zingetumika kuwasidia hao polisi wanaowatumia kwa kuwaboreshea maslahi yao na vituo vya vya kazi pia"
Post a Comment: