BREAKING NEWZ : MH EDWARD LOWASSA AWASILI MWANZA TAYARI KWA BARAZA KUU CHADEMA KESHO 12/3/2016
Habari zilizotufikia hivi punde,ni kwamba aliyekua Waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu wa 2015,kupitia mwamvuli wa UKAWA,Mh Edward Lowassa tayari amewasili jijini Mwanza maalumu kwa ajili ya mkutano mkuu wa baraza kuu CHADEMA hapo kesho Tarehe 12 March 2016.
Mh Edward Lowassa akiwasili Hotel ya Gold Crest jijini mwanza hivi punde
Mh Hawa Mwaifunga (makamu mwenyekiti baraza la wanawake chadema-bawacha) na Mh Ester Bulaya (Mb-bunda mjini) wakimlaki Waziri Mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa
Post a Comment: