Mh Lowassa (rais wa watu ) Aanza Kuchunga Ng'ombe Kama Alivyoahidi
Saturday, December 26, 2015
Aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa akichunga ng'ombe zake huko Handeni mkoani Tanga.
Lowassa yuko mapumzikoni na familia yake katika shamba lake la mifugo lililopo eneo la Mzeri,Handeni mkoani Tanga
1 comments :
Mungu awe nawe Mr Lowasa
Reply