IKIWA UCHAGUZI ARUSHA NI LEO HIVI NDIVYO WALIVYOFUNGA KAMPENI GODBLESS LEMA NA CHADEMA JANA MJINI ARUSHA
Sehemu kubwa ya Majimbo Tanzania tayari
wamepata wawakilishi wao ambao ni Wabunge, kuna majimbo ambayo uchaguzi
ulisogezwa mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo Arusha Mjini.
Kwa sababu Kampeni zinaendelea Arusha, nimeona nikuunganishe na picha kutoka kwenye Kampeni za Mgombea wa CHADEMA, Godbless Lema akiwa ameongozana na Edward Lowassa, Frederick Sumaye na viongozi wengine wa CHADEMA.
Post a Comment: