Saturday, 10 October 2015



unnamed





















Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Spika wa Bunge la Msumbiji Mh.Veronica Macamo wakipokea heshima.
unnamedX
Spika wa Bunge la Msumbiji Mh.Veronica Macamo akimkabirisha Rais Kikwete katika bunge hilo,kumtambulisha kwa baadhi ya wabunge na kufanya naye mazungumzo.
unnamedK





















                Rais Kikwete akimtambulishwa kwa baadhi ya wabunge.
unnamedM



















Rais Kikwete akizungumza na waandishi wa habari Bungeni Maputo (kulia), Spika wa Bunge hilo Veronica Macamo.
unnamedN


























Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni mashuhuri huku Spika wa Bunge hilo Veronica Macamo akishuhudia.Picha na Freddy Maro

Post a Comment: