Tuesday, 13 October 2015


Mh Edward Lowassa akiwasili uwanjani jijini Mwanza jana jioni
                 Mh Lowassa akikaribishwa na mgombea mwenza Mh Juma Haji Duni
Mh Duni akihutubia maelfu ya wakazi wa mwanza
Waziri mkuu mstaafu wa serikali ya wamu ya tatu Mh Sumaye akihutubia halaiki ilijitokeza
 Mh James Mbatia mwenyekiti mwenza wa ukawa akiwasalimu wananchi
 maelfu ya wakazi wa mwanza wakinyoosha mikono juu na kumshangilia mgombea urais wa Chadema Mh Lowassa
 Mwanaharakati na mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Mzee Kingunge akiwasalimu wakazi wa Mwanza


msafara waazi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kumsindikiza mgombea








Post a Comment: