MAMA REGINA AKIWA MJINI MAFINGA LEO MCHANA
MAMA REGINA LOWASSA
Mama Regina Lowassa akiongea na akina mama wa mjini mafinga leo mchana
Mama Regina Lowassa akimkaribisha mke wa waziri wa elimu wa serikali ya awamu ya tatu na mkurugenzi Southern Highland School ,Mama Mungai kuongeza na wakazi wa mji wa Mafinga
akimtambulisha kwa wananchi na kumuombea kura mgombea ubunge wa jimbo la Mafinga kwa tiketi ya Chadema na Ukawa Mh Willy Mungai











Post a Comment: