Thursday, 8 October 2015

Jaji Warioba: Msimamo wangu kuhusu Katiba palepale

Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema msimamo wake kuhusu kuheshimiwa kwa maoni ya wananchi katika mchakato wa kupata Katiba Mpya upo palepale, kwamba ni lazima Taifa lisikilize wananchi wanataka nini ili kufikia mwafaka....
Published By: Mwananchi

NEC, polisi, wasimamizi walishana yamini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaagiza waratibu na wasimamizi wa uchaguzi pamoja na makamanda wa polisi kutenda haki wakati wa Uchaguzi Mkuu kwa kuwa usalama wa Taifa upo mikononi mwao na kuonya kuwa kosa lolote linaweza kuiingiza nchi matatizoni....
Published By: Mwananchi

TUNAJITAHIDI KUTEKELEZA SERA NA MIPANGO YA MAENDELEO JUMUISHI-TANZANIA

Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi akichangia majadiliano kuhusu ajenda ya Maendeleo ya Jamii katika Mkutano wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Kamati  Sita zinazounda Baraza hilo zimeanza  mikutano yake ikiwa  ni  wiki moja tangu kukamilika  kwa mikutano ya Kilele ya Viongozi wa Kuu wa  Nchi  na Serikali iliyofanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa....
Published By: ZanziNews

BURUNDI-RWANDA-DIPLOMASIA: Mshauri mkuu wa ubalozi wa Rwanda afukuzwa Burundi

0 Afisa mmoja wa Ubalozi wa Rwanda mjini Bujumbura amefukuzwa kuondoka nchini Burundi na kurejea nchini mwake kwa tuhuma za kuingilia masuala ya ndani ya nchi ya Burundi kufuatia mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini humo. Rais wa Rwanda Paul Kagame (kushoto) na Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza (kulia). AFP PHOTO/JOSE CENDON Standard ...
Published By: RFI France

Post a Comment: