Sunday, 4 October 2015


                                   mchungaji mtikila enzi za uhai wake
habari zilizotufikia punde ni kua aliyekua mwenyekiti wa chama cha upinzani cha DP  Ndugu Christopher Mtikila amefariki dunia alfajiri ya leo kwa ajali ya gari iliotokea katika kijiji cha msolwa wilaya ya chalinze, mkoa wa pwani ambao marehemu aliaga dunia papo hapo na wenzie watatu kujeruhiwa IMG-20151004-WA0006
                                     gari alilopata nayo ajali marehemu mtikila na wenzie

Post a Comment: