Tuesday, 6 October 2015























DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE

Mh Rais wa Jamhuri Ya Muongano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete analihutubia bunge la Kenya mchana huu.
Akihutubia bunge hilo ambalo lilihuzuriwa pia na kiongozi mkuu wa upinzani Kenya Mh Raila Odinga.Rais Kikwete amesema anajivubnia heshima hiyo aliopewa kuhutubia bunge akiwa ni rais wa pili kufanya hivyo baada ya jonthan wa Nigeria tena ikiwa wiki mbili kabla hajakabidhi ofisi kwa raisi ajaye wa awamu ya tano
Raisi Kikwete amesema Kenya ni majirani zetu wa kudumu na ndio maana hakusita kufika kujionea na kumaliza mgogoro wao wa mwaka 2007 hata pasipo kusubiri mualiko.lakini pia akasisitiza kuwa ukaribu wa nchi hizo mbili ni mkubwa mno katika masuala la kibiashara kwani mpaka sasa Kenya ndio nchi ya kwanza kutoka Africa iliowekeza kwa kiasi kikubwa in Tanzania lakini ikiwa ni nchi ya nne kuwekeza Tanzania baada ya China, United State na India.
Pia amesisitiza kuwa muungano wanchi mbili hizi katika kuboresha miundo mbinu kama walivyofanya kwenye ujenzi wa barabara ya namanga na hiyo iliyoanza kujengwa  ya Teveta


Post a Comment: