Tuesday, 22 September 2015





“Tafiti ilitotolewa na Aidan mkurugenzi mtendaji wa Twaweza kwa kutumia sampuli ya watu 1848 ni ya kuwahaadaa watanzania kwa kile kinachosemekana kuwa haina uhalisia wowote ndani yake, na ifahamike kuwa twaweza wana maslahi yao binafsi na chama tawala CCM, hivyo basi watanzania wasiwe na hofu juu ya takwimu iyo kwani maamuzi ya mwisho yapo mikononi mwa wananchi octoba25”
“Ifahamike ya kwamba Twaweza ni taasisi  inayofanya kazi kwa kufadhiliwa na vigogo ndani ya chama tawala yaani ccm, hivyo ni wazi kwamba siku zote hawawezi kupingana na ccm, uhalisia wa kwamba hali ya ccm ni mbaya kushinda uchaguzi 2015 ndio uliopelekea twaweza kuandaa tafiti hiyo ili kudanganya umma”
“Uwepo wa maria sarungi ni icon/taswira tosha kujua tafiti zina base interest gani ,mchakato wowote wa  UTAFITI HUWA WAZI VIGEZO NA MASHARTI YA SIMU HIZO ULIKUA UMEZINGATIA NINI?

INAKUAJE WAZEE WENGI HUMPENDEKEZA MAGUFULI HUKU WALIOJIANDIKISHA ASILIMIA 68 NI VIJANA ,MNA AJENDA GANI KUKINZANA NA TAARIFA ZA TUME, ?
IKIWA HATA KWA TAKWIMU HIZI  MLIZOJIPANGA NAZO KUKANDAMIZA NA KUADAHA MAONI YA WANANCHI WALIO WENGI BADO ZIMEONYESHA MAGUFULI HANA MIKAKATI YA KIUCHUMI NA HANA MAONO NA MABADILIKO.
TWAWEZA WAMEZINGUA SANA BANA ,ALAFU INAITWA TWAWEZA SISI KWANINI MSINGEMALIZIA TWAWEZA SISIEM ILI TUJUE NI OFFICIAL AFFILIATES  WA CCM
NA  KWELI HAWA JAMAA WAMEWEZA KUDANGANYA UMMA WANASEMA AFYA TATIZO KUBWA WAKATI MITAANI TUNAJUA  KABISA  SHILLINGI YETU IMEANGUKA NA MFUMUKO WA BEI UMESHIKA KASI ALAFU MWASEMA AFYA NUMBER MOJA LAITI WANANCHI WOTE WANGEHOJIWA WANGEWEZA KUONYESHA KUWA UCHUMI MGUMU NDO MAANA HAWAWEZI KUGHARIBIA MIFUKO YA BIMA NA HATA MATIBABU .
KAMA   CCM INA WANACHAMA KADIRIO LA MILLIONI 6 NA BADO SIO TATHMINI YA WANACHAMA HAI HAO WALIOHOJIWA 1848 TUNAJUAJE  SIO  VIJANA  WA UVCCM NA JUMUIYA YA WAZAZI ?
 WAMEJIANDIKISHA WATU ZAIDI YA MILLION   ISHIRINI  UNATUMIA WATU 1848 ALAFU MNALIPA MEDIA KULISHA UMMA TAKWIMU DHAIFU KAMA CHAMA CHA MAPINDUZI
TUTAJUAJE  HAMKUWAEKEA WATU VOCHA PIA ALAFU KWA UMASIKINI WA WATANZANIA MNATEGEMEA MUMPE MTU SIMU ALAFU AKUPE MAJIBU KINZANI SIO SAWA
MBONA HAMKUULIZA UMMA TATHMINI YA ESCROW NA UFISADI MWINGINE IKIWEMO TAASISI DHAIFU KAMA TUME  ZA MAADILI  ZISIZO NA MENO NA KUACHILIA WEZI MITAANI
MLIPIGIA WATU SIMU RECORD YA SAUTI IKWAPI TUWEZE KUJUA MLIPATA MAJIBU SAHIHI AU MMECOOK DATA NA KUWALETEA WANANCHI CHAKULA KIBICHI KISA MNASIKIA TUNA   NJAA YA MABADILIKO ???
MMEPUUZIA HATA KUULIZA KAMA WATU WANAPIGIA KURA CHAMA AU MTU NA KULINGANISHA SERA NA ILANI NA KUHOJI UTEKELEZAJI WAKE KULIKO KUSEMA KILA SAA MMEANZA SIKU NYINGI

TWAWEZA MMEHOJI WAZEE NDO MAANA MNASEMA WATU HAWAJUI UCHAGUZI NI LINI NA SEHEMU AMBAZO WATU HAWAWEZI
Mmehoji watu 1848 na manasema nusu ya watanzania hawajui tarehe sahihi ya kupiga kura ,alafu mnasema kusukumana ni changamoto mashine mbovu na  watendaji hamjauliza watu malofa tushaamka
MMEBADILISHA WATU WA KUHOJI ALAFU MNASEMA NI KAWAIDA NA UTARATIBU WAKATI WATU WAMEONGEZEKA BADALA YA KUONGEZA SAMPLE  MNALETA MAGUMASHI
CCM NA TWAWEZA MMEPOTEZA IMANI NA WANANCHI  KAMA REPORT ZENU NYINGINE MBOVU TU
KAMA SISIEMU   KUPITIA NCHEMBA WALISEMA UCHUMI NA SHILLINGI YA TANZANIA ILIANGUKA KWASABABU YA WANCHI KUCHEZA MCHEZO WA KUBETI HII TAFITI NI MTAZAMO WA JANUARY NA TEAM YAKE  YA NDANI
UKAWA SIO NENO NA HAKIKA TAREHE ISHIRINI NA TANO MTAJUA UKAWA NI  NINI NA WANCHI WATAWAPA TAFITI ZAO KUPITIA KURA  SIO SIMU  NA MJIANDAE KUZIPOKEA WANANCHI WAKISHA WAFUNDISHA  TOFAUTI YA CHANGA MOTO NA MATATIZO NI NINI…






Post a Comment: