BREAKING NEWZ MIKUTANONI : WANANCHI MBEYA WAMKATAA MAGUFULI
Sunday, September 27, 2015
Hakika ni mwaka wa mabadiliko, wananchi wa mbeya alasiri hii ya leo wamempokea mgombea urais wa CCM ndugu John Magufuli kwa zomeazomea na kuimba jina la Mh Edward Lowasa kama vile ionekanavyo kwenye video hapo juu
Post a Comment: