BREAKING NEWZ : MBATIA AWAJIBU TWAWEZA NI SISI
Thursday, September 24, 2015
MH JAMES MBATIA - mwenyekiti mwenza wa UKAWA
Mh Mbatia akiongea na vyombo mbalimbali vya habari mapema mchana huu leo. amesema "utafiti wetu wa ndani uliofanywa na wataalam kutoka
nje ya nchi umeeonesha Edward Lowassa atapata kura 74%. Na kwakua Twaweza Nisisi ni taasisi inayothamini
midahalo tunawaalika kwenye midahalo wa kuitetea utafiti wao.Mbatia alisisitiza. @ccm_tanzania ilikataa kukubali maoni ya wananchi
zaidi ya laki tatu kwenye rasimu ya katiba ya warioba, lakini leo wamekubali
1848 na haina shaka simu za mkononi na chaja zilizogawiwa ilikua ni
rushwa iliyotolewa na @Twaweza Nisisi kwa washiriki wa utafiti wao"
Post a Comment: