Bi. Samia Suluhu Amnadi Dk. Magufuli Wilaya za Korongwe na Lushoto
Wednesday, September 23, 2015
Sehemu
ya wanaCCM na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa
mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akinadi ilani
ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Korogwe, Mkoa wa Tanga.
Mgombea
mwenza nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na wasanii na wananchi wengine alipokuwa akiwasili katika
viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi Mjini Korogwe ambapo alifanya
mkutano wa kampeni.
Mgombea
mwenza nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu Hassan
(kulia) akiwapokea baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na CCM katika
mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe. Jumla ya wanachama 25
walijiunga na CCM katika mkutano huo.
Sehemu
ya wanaCCM na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa
mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akinadi ilani
ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Korogwe, Mkoa wa Tanga.
Baadhi
ya wasanii waigizaji, Wema Sepetu (kulia) na Bibi Mwenda wakizungumza
na WanaCCM na wananchi katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza
kuwashawishi waichague CCM kutokana na mazuri mengi iliyowafanyia
wasanii.
Mgombea
mwenza nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu Hassan
(kulia) akimtambulisha na kumuombea kura mgombea ubunge wa Jimbo la
Bumbuli, January Makamba (katikati) katika mkutano wa hadhara wa kampeni
wa mgombea mwenza uliofanyika Lushoto Jimbo la Mlalo. Kulia ni mgombea
wa ubunge Jimbo la Lushoto, Shaban Shekilindi.
Mgombea
Ubunge Jimbo la Korogwe Mjini, Mary Pius Chatanda akizungumza na
wanaCCM na wananchi wa jimbo hilo walipojitokeza kwenye mkutano wa
hadhara wa mgombea mwenza viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi.
Post a Comment: